1 Corinthians 1:19-20

19 aKwa maana imeandikwa:

“Nitaiharibu hekima ya wenye hekima,
na kubatilisha akili ya wenye akili.”
20 bYuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu?
Copyright information for SwhNEN